MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO KADA YA ICT OFFICER II-TBC ULIOFANYIKA TAREHE 06-03-2021

 MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO KADA YA ICT OFFICER II-TBC ULIOFANYIKA TAREHE 06-03-2021



MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO KADA YA ICT OFFICER II-TBC ULIOFANYIKA TAREHE 06-03-2021Mar 06, 2021


Wasailiwa waliochaguliwa (Selected)
kuendelea na usaili wa vitendo (Pratical) wanatakiwa kufika College of Information and Communication Technologies (CoICT )- Kijitonyama-DSM kwa ajili ya usaili huo, siku ya Jumapili tarehe 07-03-2021 saa moja kamili asubuhi.Wasailiwa wanatakiwa kufika na vyeti vyao halisi (Original Certificates)Wasailiwa pia wanakumbushwa kufika wakiwa wamevaa Barakoa (Mask).


■■■■■■■■■ DOWNLOAD PDF FILE WITH LIST OF NAMES HERE 

                      👇👇👇👇👇

      DOWNLOAD PDF FILE HERE

0 comments

Post a Comment